Kesi ya Manji imeanza kusikilizwa leo

Mfanyabiashara Yusuf Manji amefika kwa wakati  asubuhi hii katika mahakama ya Hakimu mkaazi Kisutu jijini Dar es salaam kwaajili ya kusikiliza kesi inayomkabili  ya kutumia dawa za kulevya.Image result for yusuf manji
Wiki iliyopita alichelewa mahakamani hapo hali iyosababisha kuiomba radhi mahakama.

Kesi imeanza kusikilizwa mbele ya Hakimu mkaazi  Cyprian Mkeha

No comments: