Bosi wa Vodacom awafunika wafanyakazi wake kucheza Singeli tazama hapa video

Jumanne hii kampuni ya Vodacom imezindua huduma yake mpya ya pando jipya waliyoipa jina la Pindua Pindua. Katika uzinduzi huo kivutio kikubwa alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Ian Ferrao ambaye alionyesha uwezo mkubwa wa kusakata rumba la Singeli na kuwafunika wafanyakazi wake. Tazama video hiyo hapa chini.

No comments: