Video: Serikali yaja na kanuni mpya ya vyombo vya habari

Msemaji Mkuu wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari – MAELEZO, Dkt Hassani Abbasi amesema serikali inatarajia kujenga kanuni itakayo ratibu tasnia ya habari hivyo wanatarajia kupata maoni ya wadau wa habari ikiwa ni pamoja na kukusanya maoni kutoka kwa wadau habari ili kupata kanuni nzuri.

No comments: