Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Leo Jumapili,24/09/2017..

Image result for picha za ligi tanzania
Ligi kuu Tanzania inatarajiwa kuendelea leo kwa viwanja tofauti kupata kashikashi ambapo klabu tofauti zitakapokua zikimenyana.

Hii hapa ratiba kamili

Singida United vs Kagera Sugar
Ruvu shooting vs Mtibwa Sugar
Stand United vs Mbeya City
Azam FC vs Lipuli FC.


Na huu hapa msimamo wa ligi hiyo kabla ya mechi za leo

IMG-20170924-WA0006

No comments: