Breaking: Mbunge Peter Msigwa anashikiliwa na Polisi


Kupitia ukurasa wa Twitter wa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, ameandika hivi;-
 "Msigwa amekamatwa na Polisi huko Iringa na kushushwa kwa nguvu jukwani  ktk Mkutano halali. Msiogope baada ya giza nene asubuhi hutokea!"



No comments: